Saturday, June 26, 2010

Wanahabari klabuni Azam FC


Wana habari wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Azam FC makao makuu ya Azam FC, hapa ilikuwa siku Azam FC ilipowatambulisha wachezaji wake wapya wa msimu wa 2010/11 makao makuu ya klabu ya Azam FC Mzizima jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment